Thursday, October 23, 2008












Pamoja na ubaguzi mkali uliopo nchi hii, lakini wengi wa raia wa Marekani wameonyesha kumkubali bwana Obama. Tayari inadhihirisha wazi kwamba huyu bwana atakuwa rais
na kuingia kwenye vitabu vya historia kama mtu wa kwanza mweusi kuliongoza taifa hili kubwa lenye nguvu na utajiri mkubwa. Jambo hili linaleta matumaini makubwa ya kwamba kuna mambo mengi mazuri yanaweza kutokea Duniani. Thank you Dr. King, Mandela, Nnkruma, Nyerere na wengine wengi.


No comments:

Post a Comment