Thursday, October 23, 2008


Siajabu haya ndio yakawa makazi mapya ya bwana Obama pindi ifikapo Januari 2009. Tulio wengi tunasubiri sana kuona mambo yatakuwaje siku ya uchaguzi na baada ya hapo. Kama Waswahili wasemavyo "kweli Mungu si Athumani".

No comments:

Post a Comment