Saturday, November 15, 2008


Bwana Kichaka(Bush) amewaalika viongozi wenzake wa mataifa tajiri duniani(G-20) kwenye mkutano unaoendelea mjini Washington, D.C, katika kile kinachoitwa...kujadili na kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya kiuchumi yanayoendele kwa sasa duniani.

No comments:

Post a Comment