Showing posts with label G-20 summit. Show all posts
Showing posts with label G-20 summit. Show all posts

Saturday, November 15, 2008


Bwana Kichaka(Bush) amewaalika viongozi wenzake wa mataifa tajiri duniani(G-20) kwenye mkutano unaoendelea mjini Washington, D.C, katika kile kinachoitwa...kujadili na kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya kiuchumi yanayoendele kwa sasa duniani.