Sunday, November 30, 2008


Kama bwana Mugabe ameshindwa kuwapatia wananchi wake unafuu wa kupata hata maji, hivi ni nini kinamfanya afikirie kwamba anahitajika tena? Kwa sasa Wazimbabwe wanakufa kwa kipindupindu na njaa, lakini mheshimiwa bado anadhani yeye na uongozi wake sio tatizo ila ni wapinzani. Hawa ndio viongozi wetu Afrika! Je kweli tutafika?

No comments:

Post a Comment