Thursday, November 20, 2008

Viongozi waasisi wa Afrika yetu. Nadhani kati ya hawa wote wameshatutoka isipokuwa mzee Kenneth Kaunda wa Zambia. Je! Unaweza kuwatambua majina yao? Tuma majibu kwa kupitia barua pepe: fundikramadhani@cs.com na kujishindia zawadi nono.

No comments:

Post a Comment