Sunday, December 7, 2008


Hivi ndivyo ilivyo nchini Zimbabwe kwa sasa. Hali inazidi kuwa ngumu lakini bwana Mugabe hasikii wala haoni. Hivi kama kweli mwendo ni kwa mkokoteni, hawa wagonjwa wa kipindupindu watapona kweli? Mugabe sasa inatosha...ONDOKA!!

No comments:

Post a Comment