Sunday, December 14, 2008


Katika kipindi cha miaka ya nyuma(1970's na 1980's), Tanzania tulikuwa tunalisakata kandanda kiuhakika sana na wengi wa wachezaji wetu walicheza kwa viwango vya juu sana. Ni nini kimetokea baada ya hapo ni swali ambalo wengi bado tunajiuliza. Pichani ni baadhi ya hao mashujaa wetu enzi hizo.

No comments:

Post a Comment