Showing posts with label mpira. Show all posts
Showing posts with label mpira. Show all posts

Wednesday, December 17, 2008

Mshambuliaji machachari enzi hizo "Zamoyoni Mogella" akifanya vitu vyake.

Sunday, December 14, 2008


Katika kipindi cha miaka ya nyuma(1970's na 1980's), Tanzania tulikuwa tunalisakata kandanda kiuhakika sana na wengi wa wachezaji wetu walicheza kwa viwango vya juu sana. Ni nini kimetokea baada ya hapo ni swali ambalo wengi bado tunajiuliza. Pichani ni baadhi ya hao mashujaa wetu enzi hizo.