Monday, January 26, 2009


Kesi ya Thomas Lubanga, aliyekuwa kiongozi muasi ya majeshi yanayopigana Congo, imeanza kusikilizwa leo huo The Hugue katika mahakama ya Kimataifa. Picha ya juu anaonekana akiingia mahakamani(01/26/2009) na ya chini akiwa kijijini Barriere, Congo akizungumza na wanakijiji(06/05/2003).

No comments:

Post a Comment