Thursday, January 29, 2009



Mchezaji kiungo wa Ac Milan, David Beckham(kulia) na mwenzake Kaka(toka Brazil) wakiufukuza mpira wakati timu yao ilipocheza na Genoa na kufungana 1-1 katika uwanja wa San Siro Station Jijini Milan.

No comments:

Post a Comment