Thursday, January 29, 2009



Mchezaji Mbrazili, Robinho, anayecheza mpira wa kulipwa huko Uingereza, Jumatano hii (01/28/2009) alikamatwa na polisi na baadae kuachiwa huru kwa mdhamana kwa kosa la kubaka kwenye sehemu moja ya starehe Jijini London.

No comments:

Post a Comment