Thursday, February 26, 2009

Mkuu wa Uendeshaji wa kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom Peter Correia(katikati) akimkabidhi Mganga mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala Suleiman Mutani (kulia) moja ya vitanda vilivyotolewa na Vodacom Foundation vyenye thamani ya shilingi milioni 40 katika kusherehekea siku yao,(kushoto)Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba.

No comments:

Post a Comment