Friday, March 20, 2009


Hii siyo foleni ya mafuta ya taa au petroli bali ni watu wanaosubiri mgao wa maji. Hii ni kwenye kambi moja ya wakimbizi huko Darfur. Kuna kila dalili ya kwamba kama tusipokuwa na mipango mizuri basi tunaweza kukabiliwa na tatizo kubwa sana la maji kwa matumizi ya kila siku hapo mbeleni. Maji ni uhai, na uhaba wake unaweza...

No comments:

Post a Comment