Sunday, March 29, 2009

Mchezaji wa timu ya Zambia, Francis Kasonde akishangilia baada ya kufunga bao kwenye goli la timu ya Misri kwenye mechi ya kugombania kuingia kwenye mashindano ya kombe la Dunia mwakani(2010) kundi C la nchi za Afrika. Mechi ilikwisha kwa bao 1-1.

No comments:

Post a Comment