Sunday, March 29, 2009











Vifo vya karibu watu 19 na majeruhi kadhaa vimetokea katika uwanja wa Felix Houphouet-Boigny mjini Abidjan Ivory Coast wakati wa mechi kati ya Malawi na Ivory Coast katika shindano la kuwania nafasi ya kuingia kombe la Dunia 2010 kwa kundi la nchi za Kiafrika.




No comments:

Post a Comment