Saturday, March 21, 2009

Raisi wa Rwanda, Paul Kagame ameliambia Bara la Afrika kuacha mara moja kutegemea misaada kutoka nje na kuanza kutumia mali-asili zinazopatikana kwa wingi Barani Afrika kwa kuleta maendeleo. Aliyasema hayo wakati alimpomtembelea Mzee Mandela huko Afrika ya Kusini siku ya Ijumaa.

No comments:

Post a Comment