Friday, April 24, 2009


Mkurugenzi wa Benchmark Ritah Paulsen (katikati)akiongea na waandishi wa habari kuhusu shindano la kuwasaka nyota Bongo Star Seach(BSS)kwa mkoa wa Dares Salaam zoezi hilo litafanyika jumamosi hadi jumapili katka ukumbi wa World cinema.(kushoto)Meneja udhamini wa Vodacom Emillian Rwejuna na kulia ni Meneja Mawasiliano Nector Foya wa Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa Bongo Star Search.

No comments:

Post a Comment