Sunday, June 14, 2009











Leo bado niko Tanga kunani... pale kwenye soko la mjini(Uzunguni) ambapo mtazamo mzima uko kwenye kitoweo. Ingawa wakazi wengi wa mjini hapo upendelea sana kula samaki lakini nyama ya ngombe nayo ni mojawapo ya kitoweo kikubwa sana. Hili Bucha husifika kwa kuwa na nyama nzuri na freshi.




No comments:

Post a Comment