Saturday, July 11, 2009

Samahanini wapenzi wote wa blogu hii kwa kushindwa kwangu kuwa hewani kwa kipindi sasa. Ukweli ni kwamba niko likizo nyumbani(Bongoland) na heka heka zimenizidia kidogo. Msijali sana kwani likizo karibu inafikia ukingoni na mambo yatarudi kama kawaida.

Aksanteni kwa uvumilivu.
Fundi wa Kombo

No comments:

Post a Comment