Monday, December 14, 2009




Haya ndiyo maisha ya Watanzania walio wengi huko vijijini na itawachukua miaka mingine 48 kutoka katika hali hii kama tutaendelea kusheherea uhuru kwa vifijo na furaha...



1 comment:

  1. Duh!! Utadhani ni Tanganyika kabla ya UHURU, kumbe ni Tanzania karne ya 21. viongozi wanatembelea magari ya dola laki mmoja, huku wananchi wengi vijijini wanaendelea kutaabika, hii ni hali ya kusikitisha kweli kweli. Ubinafsi na wizi ndio sifa ya viongozi wetu.

    ReplyDelete