Friday, February 26, 2010

Kweli maisha yamepanda! Eti kuvuka ili daraja kwenda Staten Island/New Jersey ni dola kumi na moja? Hii ina maana ya kwamba kwa mtu anayepata kima cha chini cha mshahara (Dola 7.75), ili aweze kuvuka hili daraja itamlazimu afanye kazi masaa mawili!!!

No comments:

Post a Comment