Wednesday, March 31, 2010

Hii safi sanaaa!! Labda zikiwepo kwenye kila sehemu zinazotumiwa kwa tendo la ngono, pengine itasaidia kupunguza maambukizo ya gonjwa la ukimwi. Nadhani itawaondolea haya wale wanaokuwa wazito kununua toka madukani.

No comments:

Post a Comment