Wednesday, March 28, 2012

KIMENUKA USIKU HUU UKO JKT KAWE KWENYE ROYAL BAKERY BAADA YA WAJEDA KUVAMIA NA KUKOMBA PESA ZA MAHUZO YA SIKU MZIMA NA KUTOWEKA BILA KUKAMATWA.

Masikini dada wakazi katika babery hiyo akilia kwa uchungu, ingawa akujeruhiwa ukupolisi wa kituo cha kawe wakipata mahelezo juu ya tukio hilo lililo toke saa 3 za usiku. Kati na watu maharufu waliokuwepo katika bekary hiyo ni Dada Khadija Mwanamboka. Baada ya kuona pamenuka aliamua kujibana ndani ya gari lake kimya bila hata macho kufungua.

No comments:

Post a Comment