Friday, May 25, 2012

WABUNGE WA UKRAINE WAZICHAPA KAVU KAVU MJENGONI

 Wabunge wa nchini Ukraine wakizichapa kavukavu wakati wakiwa katika moja ya Kikao cha Bunge nchini humo baada ya kupishana msimamo kuhusu matumizi ya Lugha ya Kirusi wakitaka itumike katika Mahakama za nchi hiyo.  Wabunge wa chama cha Rais Viktor Yanukovich, wanataka lugha ya Kirusi ikubaliwe kama lugha rasmi ya pili nchini humo jambo ambalo wabunge wa vyama vya upinzani wanapinga vikali kupitishwa kwa sheria hiyo ambayo ingeruhusu lugha ya Kirusi kutumiwa katika mahakama.
Wabunge hao wakiendelea na sinema yao ya kuonyeshana umwamba ndani ya ukumbi huo wa Bunge.

No comments:

Post a Comment