Tuesday, July 31, 2012

Dkt Migiro akutana na Jaji Warioba leo

 

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt.Asha-Rose Migiro (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko yaKatiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba wakati Dkt. Migiro alipotembelea ofisi zaTume jijini Dar es Salaam leo (Julai 31, 2012). (Picha na Ismail Ngayonga).

No comments:

Post a Comment