Tuesday, July 31, 2012

PICHA NA MATUKIO KATIKA PITA PITA YA CAMERA YA FUNDI WA KOMBO

 Chicago down town inavyoonekana kwambali kupitia lake Michigan, unaweza kufikiria ni bahari him kumbe ni ziwa mambo ya Fundi wa Kombo hayo.

 Wakazi Wassira Kushoto na Dulla Solo wakipeana challenge ya mistari ya hip pop Wakazi ni mwanamuziki kizazi kipya and Dulla Solo ni Tanzania hip pop legend.

 Dulla Solo akiwa na Stanboi aka the Afican Child, Stanboi  mwanamuzik wa kizazi wa r&b na kwa sasa anatamba na kibao chake cha feel good akipata ukodak na legend wa hip pop

Stanboi na nembo ya Tshirt zake zinazo julikana kama the African child akiwa na watu walio walionunua kutoka kwake.

Ukodak wa Fundi wa Kombo watu wakishow love mwanzo kushoto mdau wa Chicago kati ni Stanboi kutoka    Wichita Ks na Dr Kally kutoka Detroit MI Dr Kally ni jina la kisanihi nae licha ya kufanya kazi za kuajiliwa pia ujiusisha na muzik wa hip pop pale anavyo pata muda.

Pita pita ya camera ya Fundi wa Kombo  ikakuta parking hii hipo full na vyombo vya majini katika lake Michigani Chicago..........kama unavyo jionea.

No comments:

Post a Comment