Tuesday, July 31, 2012

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 

 Naibu Waziri wa Afya Dkt. Seif Rashid (kulia) akibadilishana mawazo na Wabunge wa viti maalum Zarina Madabida (kushoto) na Zainab Vullu (katikati) katika viwanja vya Bunge  mjini Dodoma leo. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.


  Mbunge wa Simanjiro,  Christopher Ole Sendeka, (kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, leo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

   Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI-ELIMU)  Majaliwa Kassim Majaliwa, akijibu  hoja zinazohusu wizara yake Bungeni, mjini Dodoma leo.


1    Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa  (kushoto) na Mbunge wa Viti Maalum, Diana Chilolo, wakifuatilia taarifa za Bunge wakati wakiwa katika Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.

No comments:

Post a Comment