Saturday, July 14, 2012

WATANZANIA WA MASSACHUSETTS NA VITONGOJI VYAKE WAMZIKA PATRIN KIBELLOH



 Juu na chini ni Watanzania wa Massachusetts na majimbo ya jirani waliofika katika Sala ya Ijumaa katika msikiti wa Roxbury uliopo Barabara ya Malcolm X Blvd, Roxbury, Massachusetts Nchini Marekani.
 Mzam "Chadogi" rafiki wa karibu na marehemu akiangalia mahali atakapozikwa Patrin Kibelloh
 Gari liliobeba mwili wa marehemu likiwasili makaburi ya West Roxbury yaliyopo mtaa wa Baker alikozikwa Patrin Kibelloh
 Watanzania, ndugu, jamaa na marafiki waliofika makaburini kumsindikiza mwenzao katika safari yake ya mwisho wakisaidiana kubeba jeneza kuelekea mahali atakapozikwa marehemu.
 Maziko ya Patrin Kibelloh yakiendelea
 Watanzania, ndugu, jamaa na marafiki wakisaidiana kufukia mahali alipozikwa ndugu yetu Patrin Kibelloh.
 Baada ya maziko viongozi wa jumuiya ya Watanzania New York na Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Massachusetts wakipiga picha ya pamoja.
Mke wa marehemu Iman Mwakawago (wapili toka kulia waliokaa) akiwa pamoja na ndugu, marafiki na jamaa wakimfariji katika msiba huu mkubwa.
 
Maftaha kutoka New York akiongea machache katika kuwafariji wafiwa
Isaac Kibodya akitoa shukrani kwa niaba ya familia
Kwa picha zaidi Bofya Read More


No comments:

Post a Comment