Friday, September 7, 2012

RIHANA AKITENDEKA NA BOYFRIEND WAKE WA ZAMANI CHRIS BROWN KWENYE MTV AWARD

Rihanna (kushoto) akibusiana na boifrendi wake wa zamani Chris Brown (kulia) wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rihanna (kushoto) na rapa A$AP Rocky wakitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rihanna akitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rihanna akitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rihanna akishukuru kwa tuzo ya Video Bora ya Mwaka wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.

No comments:

Post a Comment