Friday, September 7, 2012

RAPA WIZ KHALIFA NA MUKE NDANI YA MTV AWARD KITUMBO NDIII

Rapa Wiz Khalifa (kushoto) akishika tumbo la mchumba wake mwanamitindo Amber Rose wakati wakiwasili kwa ajili ya tamasha la tuzo za video bora za muziki la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.

Rapa Wiz Khalifa (kushoto) akiwasili na mchumba wake mwanamitindo Amber Rose kwa ajili ya tamasha la tuzo za video bora za muziki la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Amber Rose akionyesha tumbo la ujauzito wa mchumba wake rapa Wiz Khalifa na kuthibitisha uvumi uliozaga kwamba mwanamitindo huyo anatarajia mtoto wake wa kwanza 

No comments:

Post a Comment