Friday, November 30, 2012

MISS EAST AFRICA DEC 7 WAJUE HAPA




Warembo watakaowania taji la Miss East Africa 2012 wakiwa katika vazi la ufukweni, jijini Dar es salaam. Shindano hilo litafanyika tarehe 7 December 2012 (Ijumaa wiki ijayo), kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es salaam.


Mashindano haya Yanaandaliwa na kumilikiwa na kampuni ya Rena Events Ltd na kudhaminiwa na TANAPA, Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, Ethiopian Airlines, Seascape Hotel, Darlings Hair, Ako Catering, DTP, Satguru, na Clouds FM.


Burundi


Eritrea


Ethiopia


Kenya


Rwanda


Tanzania


Uganda


Somalia

No comments:

Post a Comment