Monday, February 4, 2013

JK AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUADHIMISHA MIAKA 36 YA CCM MJINI KIGOMA LEO

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo na Bibi Koku ambaye aliwahi kuwa Katibu wa CCM katika Wilaya mbalimbali nchini ikiwapo Dodoma, Kongwa na Mwisho Wilaya ya Kasulu wakati wa Mfumo wa Chama Kimoja.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akianzisha rasmi matembezi hayo ya Mshikamano.
Matembezi yakiendelea
Brass Band ikiongoza matembezi hayo.
Viongozi mbalimbali wakishiriki matembezi hayo.


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia wananchi marabaada ya kumaliza matembezi hayo.
JK akiwapungua mkono wakazi wa Kigoma
Viongozi wa juu wa UVCCM Taifa, Sadifa Abdallah na Mboni Mhita (kulia)
Mkazi huyu alitoka barabarani na Binti yake
Ulinzi ulikuwepo wakutosha


Wananchi waliojitokeza katika matembezi hayo.

Mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mjumbe wa NEC Wilaya ya Lindi Mjini akisalimia wakazi wa mjini Kigoma baada ya kushiriki matembezi.

CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeh!!!!



Posted in:

No comments:

Post a Comment