Wednesday, March 20, 2013

Aibu Kubwa:Mwanaume Anaswa Akitongoza Wanawake Kwa Kuwatumia Picha zake Chafu

Huyu ni mwanaume mtu mzima ambaye hujipiga picha chafu za uchi na kuzituma kwa warembo ili awanase kimapenzi......
Mtandao huu umefanikiwa kuzinasa picha 6 za Mwanaume huyu aliyetambuliwa kwa jina la Moses Kadey ....
Kati ya picha hizo, 5 yuko mtupu akijinadi na moja kavaa kikazi.
Akiongea na mtandao huu, mmoja wa wasichana hao amedai kuwa jamaa huyo amekuwa akizituma picha hizo kwa warembo saba ambao kwa bahati nzuri au mbaya ni MARAFIKI.
"Huyu mtu anaitwa Mosses Kadey amekuwa anatutumia mipicha ya ajabu eti anatutongoza mimi na rafiki zangu karibia 7 wote anatutumia mipicha kama hii au mbya zaidi hata kuonyesha aibu jamani akome"....Alifunguka mrembo mmoja mbele ya mpekuzi wetu
Tunawapongeza warembo hao kwa uamuzi wao wa busara wa KUMKIMBIA FATAKI HUYU
Hii ni mara ya kwanza kushuhudia mwanaume akimtongoza binti kwa kutumia picha za uchi.....Kama ni mzuri ni mzuri tu......
Ni vyema jamii ikajifunza kutokana na matukio.Mapenzi ya picha za uchi ni sumu na ni aibu ya
milele....


No comments:

Post a Comment