Friday, March 29, 2013

BREAKING NEWZZ JENGO LIMEPOROMOKA KATIKATI YA JIJI


PictureTaarifa lizizotufikia hivi punde zinasema kuna Jengo jipya lililokuwa linajengwa limeporomoka na kuangukia msikiti  (kama inavyoonekana pichani) asubuhi hii mwendo wa saa mbili u nusu, katikati ya jiji la Dar es Salaam, kwenye barabara ya Mororogo, punde tu baada ya Kisutu.
Picture

No comments:

Post a Comment