Sunday, August 18, 2013

HAWEZI " KU S>X " MPAKA ASHIKILIE NA MKONO.......HUU NDO UFUMBUZI WA TATIZO


Mimi ni msichana nimewahi kuwa na rafiki wa kiume hapo nyuma, huyo kaka alikua tu kama rafikiyangu baadae ikatoke tukapendana na kuwa mtu na girlfriend wake I mean tulianza kutoka kama wapenzi.

Huyo mwanaume alikua yuko nice ingawa baadae tulikuja tukaachana. Tatizo la huyo mwanaume ni wakati wa kufanya mapenzi. 


Tulikua tukifanya romance , tukiwa tunajiandaa kufanya mapenzi alikua yuko vizuri , tu tunaendana vizuri na wote tunakua tuko tayari kungonoka ila wakati wa kungonoka ndo kasheshe linaanzia hapo.

Kwanza uume wake hauingii, yaani ni lazima ashikilie na mkono ndo aanze kuingiza na kutoa na hata kama akishikilia bado hawezi kutia kabisa yaani hawezi kwenda juu na chini na hata mimi nashindwa kumsapoti kukatika kwani uume wake unakua kama umeshasinyaana.



Kitu kingine alikua anadai eti uchi unateleza kwa hiyo ananifuta ndio aingize ukiwa mkavu kabisa wakati mimi najua uchi ukiwa una ute ndio rahisi kwa kufanya mapenzi na pia haiwi kazi ngumu kuingiza.


Uume wake ulikuwa unaonekana umesimama sana ila hauingii unakua kama hauna nguvu. 


Huyu mwanaume alinitesa kweli kihisia kwani nilikua na ham sana lakini ndio hivyo hawezi kuingiza nakuiacha peke yake ....lazima aishikilie na mkono na ananifuta uchi uwe mkavu ndio ajaribishe kuingiza....


Yaani kuna mda tulikuwa tunafikia mpaka tunaamua kuacha kwani hafanikiwi kuingiza anajishikilia kwenye kichwa anaingiza kichwa kidogo.

Nakumbuka nimeshawahi kuwa nae siku mbili lakini alifanikiwa kuingiza mara moja na hakukaa hata dakika kumi ikatoka.

Alafu sijawahi muona akipiga bao zaidi ya mara moja tu .JE, hili ni tatizo gani kwa mwanaume huyu? 

Ukimuangalia ni handsome, ananguvu za kutosha tu na uume wake unasimama vizuri na ni mkubwa vizuri na isitoshe nilikuwa namfanyia blow job ya kutosha na nampa romance ya kutosha kuhakikisha yuko tayari lakini wapi.


Mwenzenu yaliyonipata ndio hayo, Ingawa yule mwanaume niliachana naye ila kila siku nimekuwa nikifikiria je hili ni tatizo gani? Nimekaa na siri moyoni lakini kwa kweli imenishinda .


Na sio kwamba umri wake ni mkubwa ni bado kijana mdogo hajafika hata miaka thelathini, kwa mnaojua labda nini atumie ili awe anajiweza kimapenzi hata nijaribu kumshauri kwani nasikia hata msichana aliyenae sasa ameshaanza kulalamika kwa watu.


Na sikupenda lile tatizo lake kwani wakati wa tendo alikua anahangaika sana utamuonea huruma na tunaishia tu kujaribu kuingiza hatufanikiwi kufanya.

Asanteni.

USHAURI WA TATIZO: 

Hili tatizo lipo kwa kiasi kikubwa sana miongoni mwa wanaume lakini kutokana na UANAMUME huwa hawapendi kulizungumzia sio kwa wapenzi wao tu bali hata kwa madaktari.

MTAZAMO

HUYO MTU ANATATIZO LIITWALO PARTIAL IMPOETANCE.

HUSABABISHWA NA VITU VINGI,WOGA WA MUNGU,WOGA WA MAHALI PA KUFANYIA TENDO,

WOGA WA MAGONJWA,WOGA KWA MSICHANA KWA MAANA YA KUOGOPA KUUMBUKA AU KUMKAMIA SANA MSICHANA AU KWA KUTAKA KUMWOMYESHA BINTI KUWA ANAYAWEZA.

NA MSONGO WA MAWAZO KWA UJUMLA.PIA HUTOKEA KAMA MTU HAJAMFEEL SANA MTU AU ANASUTWA NA NAFSI KWA KUTAKA KUIBA NGONO.

NYONGEZA YA VISABABISHI.

1)-Maumbile ambayo wengi wanarithi.

2)- Mtu aliyezoea kupiga punyeto kwa muda mrefu

3)- Matatizo ya Kisaikolojia yaliyosababishwa na wanawake (ana historia mbaya na wanawake),

3)-Kuugua kwa muda mrefu huko nyuma (matokeo ya matumizi ya dawa mbali mbali),

4)-Kutojiamini,

5)- Wewe kutokuwa "relaxed" yaani unanyege na uko mnyevu lakini pia uko "tense" hatoweza kuingia na jinsi anavyojitahidi kuingia anashindwa inampunguzia kujiamini hata kuhisi kuchoka na kupoteza ugumu wa uume wake.

6)-Stress kutokana na maisha au shughuli za kimaisha na kazi.

7)-Kutokujua afanyacho (sio mzoefu sana) na labda anajua wewe mambo yako yako juu.

8)-Umri mdogo kitu kinachoweza kusababisha yeye kutokuwa tayari kwa tendo au kuwa kenye uhusiano wa kimapenzi na ngono......nakadhalika.

NINI KIFANYIKE?
Kutokana na umri mdogo wa mpenzi wako huyo wa zamani sidhani kama ni busara kumshauri kutumia dawa za kuongezea nguvu zile za kisasa au za kienyeji za kiume kabla ya kujaribu njia za kawaida ambazo hazina madhara .

Njia hizo ni kujitahidi na kujua hali yake hiyo inasababishwa na nini hasa? Na hilo litafanikiwa ikiwa ataondoa aibu na kuweka pembeni "ego" yake na kwenda kumuona Daktari na kumueleza yaliyomsibu huko nyuma kama yapo(Kisaikolojia), Kinachompata anapokuwa na wewe (labda kutojiamini/uoga), amewahi kuugua alipokuwa mdogo, kuna matatizo ya kiafya kiukoo kama kisukari n.k


Sasa kwa vile hana mpenzi kwa sasa na wewe inaonyesha unampenda, unamjali na kutaka kumsaidia basi sio mbaya kama mkarudiana (sio lazima ) ukamsaidia kwa kutumia bidhaa iitwayo "cock ring"..

Inapatikana kwenye maduka ya dawa sambamba na Condom lakini "pete ya uume" hiyo husaidia kuufanya uume kubaki mgumu kwa kutoruhusu damu iliyojaa uumeni kushuka chini nakusababisha "kiungo" kulegea au kupoteza u-firm wake.

Kifaa hiki huwekwa chini kabisa karibu na pumbu pale uume unaposimama na kukaza hali itakayomfanya mwanaume asimamishe kwa muda mrefu kuliko kawaida yake na haina maumivu yeyote kwako wewe wala yeye mwanaume kwani bidhaa hiyo imetengenezwa kwa mpira. 

Vilevile ajitahidi kula vyakula vyene vitunguu saumu, apendelee kula vyakula vya baharini hasa pweza.

No comments:

Post a Comment