Tuesday, August 20, 2013

Ujumbe muhimu kwa wanaouza makalio yao mitandaoni.....


Unapiga Picha unaandika maneno mazuri tu na kupost Facebook ama Instragram ,''Asante Mungu kwa siku hii ya Jumatatu,AMEN''...


Cha kushangaza ni kwamba picha yenyewe umepiga makalio yako na umeyageuzia kwa watazamaji.Kwani kuna uhusiano gani wa Makalio yako na siku ya Jumatatu???

Au unamaanisha yana shape ya Jumatatu?Halafu wengine basi tu mnapenda kuweka lakini wala shape zenyewe sio kiivyo,sio kwa sababu yule kaweka basi na wewe unatuwekea mkusanyiko wako wa viazi vitamu na kaukau,unajishushia heshima....

Sio kila kitu ni cha kuiga,Huo ni ushamba na hamjui tu tunawatafsirije huku mtaani...

No comments:

Post a Comment