Tuesday, September 10, 2013

Mtandao wa fedha haramu wabainika kuwepo Tanzania

Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.

1 comment:

  1. I visit each day some sites and information sites
    to read articles or reviews, but this weblog gives quality based articles.


    my web-site: todovenezuelacomes

    ReplyDelete