Thursday, October 17, 2013

CHANGUDOA AKIMBIA MTAANI UCHI BAADA YA KUONA MASHINE KUBWA YA MTEJA WAKE

Ushawahi kusikia mwanaume ana mguu wa mtoto ? basi haya ndio yamemkuta changudoa mmoja huko Mombasa baada ya kwenda na Mteja Gesti house...Inasema walivyofika Gesti walikubaliana malipo na baada ya hapo walivua ila msichana baada ya kuona maumbile makubwa ya jamaaaa ilibidi aombe Poo lakini jamaaa hakusikia kwa vile alishatoa hela ikabidi alazimishe ...Msichana alipata upenyo wa kutoroka na kutoka Gesti akiwa uchi huku akipiga yowe.....Baada ya kuulizwa nini alisema Jamaaa ana maumbile ya siri makubwa kama Mguu wa mtoto ...Watu walicheka tu na wasamaria wema wakamsitiri kwa kanga...Chezea Mombasa wewe

No comments:

Post a Comment