Wednesday, February 26, 2014

WANAUME..JAMANI ACHENI UBINAFSI KWENYE MASWALA YA MAPENZI HASA 6 KWA 6

Naamini Most women wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi sababu ya"dumb a.ss men" they have on bed but when you meet sm1 that monster o skilled on bed u will see the world with different perception

Sisi wanaume wengi either sababu ya kuendeshwa na mfumo dume au kutokua waelewa na kushindwa.kujishusha tumekua wabinafsi tu na sababu kubwa ni sababu kubwa ni ubinafsi

Naamini tunapaswa kujifunza kuwaridhisha wanawake/wenza wetu

Tunapaswa kuwafanya wanawake wetu waone wamepata dhahabu kuachana na wenza wao Wa zamani na kuwa na wewe "Unfortunately" wanaume wengi tunazidi kua wabinafsi kwenye mapenz na hatujui au hatujali kuwaridhisha wenza wetu tunalichukulia suala la sex kwa kwa uzito mdogo tofauti na effect zake.

Hatujui kitanda kinajenga/kinaharibu ndoa/mahusiano haraka zaidi kuliko tunavyofikiria Men suppose to change their perception(i have to admit that including me) Najua maisha ni zaid ya s'x but trust me tunatakiwa kuipa s'x uzito unaostahili kuijenga au kuibomoa ndoa Kwa mahusiano yote niliyopitia "Fuc.kmate",relationships na kila aina ya uhusiano imenifundisha mengi Hujisikii furaha au proud mkeo/mpenzio anakuambia au ana-appreciate kiasi gani umemkosha kitandani?

Kwanini utafute pesa watumie Marioo wa mjini hapa kisa anamridhisha mkeo/mpenzio wakat unafikiri unamtimizia kila kitu ? Mara ngapi unaskia au unajua mwanamke ana kila kitu ambacho mwanamke mwingine anatamani(elimu,nyumba,magari) kua nacho maishani lakini hana furaha sababu tu hajawah kukojozwa au kuwa na gud s'x? Unajiskiaje akiwa ni mkeo/mpenzio? Unajiskiaje unaPokojoa baada ya dk 5 wakati mwenzio ndo kwanza mzuka unampanda?

Guys tunazipenda ndoa/relationships zetu kweli Kwnn tusijifunze ufundi zaidi na zaid I kila siku? Inakucost nn kujituma na kumridhish mwenzA wako?
How many times mkeo/mpenzio kakwambia hajaridhika?umefanya nn kumsaidia? Unajiskiaje ukikuta anajigegeda na Dild.o au strappons aka toys?
Ni kwamba "dushelele" lako halina thamani? Kwann umpande mkeo/mumeo kama punda?humwandai hujui hata jiografia "uvinza" iko wapi wala kunyonya sukari yake ya mtibwa ni wapi?

No comments:

Post a Comment