HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Baada ya kumalizika kwa mjadala wao wa mwisho (Octoba 15), mgombea Urais wa chama cha Republican bwana John McCain alionekana kupotea njia ya kushukia jukwaani na kuonekana kuchanganyikiwa kama picha hii inavyoonyesha.