Showing posts with label Obama na Mcain. Show all posts
Showing posts with label Obama na Mcain. Show all posts

Tuesday, October 21, 2008



Baada ya kumalizika kwa mjadala wao wa mwisho (Octoba 15), mgombea Urais wa chama cha Republican bwana John McCain alionekana kupotea njia ya kushukia jukwaani na kuonekana kuchanganyikiwa kama picha hii inavyoonyesha.