Tuesday, January 26, 2010

Tutapokuwa tunasheherekea miaka 49 ya Uhuru mwaka kesho, basi ni vyema tukakumbushana kwamba katika kijiji cha Mwamongu na sehemu nyingine nyingi tu nchini mwetu, hapa ndipo tunapopata maji ya matumizi ya kila siku... "CHAGUA CCM KWA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA"

No comments:

Post a Comment