Friday, June 22, 2012

PICHA MBILI ZA CALVIN YONDANI BAADA YA KUANZA MAZOEZI NA YANGA LEO.


.
Kelvin Patrick Yondan beki wa kimataifa wa Tanzania ameanza mazoezi rasmi leo katika klabu yake mpya, Yanga SC ambapo alitinga maeozini asubuhi na kushangiliwa ile mbaya na mashabiki wa klabu hiyo Uwanja wa Kaunda, Jangwani, Dar es Salaam. Picha tofauti zikimuonyesha Yondan mazoezini Yanga. (Picha zote zimepigwa na bongostaz.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment