Monday, August 26, 2013

MCHAWI AANGUKA AKIWA KWENYE HARAKATI ZA KULOGA

Mchawi hivi karibuni kaleta kizaa zaa huko Dzivarasekwa alipokutwa na 'birthday suit' yake(uchi)

Sabina Rokuzhe alikiri kuwa yeye ni mchawi na amedondoka alipokuwa anaruka kwenye ungo akitokea kwenye trip yake ya kuloga huko Masvingo.


Alikutwa kwenye nyumba ya Mbuya Annah Kamupaundi. AkaaAnza kuwaomba watu waliomzunguka wasimpige ,akasema pia katembelea nyumba kadhaa katika eneo hilo.


Mmoja wao aliyemuona asubuhi mapema ni Mrs Alice Hundi (37) ambae alisema aliamka baada ya kusikia mayowe ya mwanamke kwenye saa nane hivi usiku.


"Nilipomuona yuko uchi,nilimmwagia chumvi usoni, akaanguka na kuanza kujizungusha zungusha chini. Tuliita polisi na akachukuliwa"

No comments:

Post a Comment