Wednesday, October 23, 2013

MVULANA ALIYEWEKA MTANDAONI PICHA ZA DEMU WAKE KUMBE CHANZO NI DADA HUYU KUMYIMA "KIPWINTO" YANI TIGO BOY WAKE, MSICHANA HUYO ASEMA ALIWA KUJARIBU ALIUMIA SANA KUTOKANA NA MAUMBILE MAKUBWA YA BOY WAKE HUYO!

Imebainika kuwa chanzo cha dada huyu kuwekwa picha zake mtandao na mchumba ake inadaiwa ni kumyima mchumba ake huyo Kipwinto yani mapenzi kinyume cha maumbile, hali iliyomfanya mwanaume amalizie hasira zake kwa kufungua fake account ya facenook yenye jina la mpenzi wake na kisha kumtupia akiwa mtupu.
Aidha dada huyo alieleza kuwa mchumbaake huyo ana sehemu kubwa sana na maumbile yake na aliwahi kujaribu siku moja na aliumia sana kiasi cha kutotamani tena kufanya hivyo. Chanzo cha Xdeejayz

No comments:

Post a Comment