Showing posts with label Bush. Show all posts
Showing posts with label Bush. Show all posts

Wednesday, January 14, 2009

Wakati akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya mwisho kabda ya kuondoka madarakani, Bwana Kichaka, kwa mara nyingine tena anakataa kukubali ukweli kwamba serikali yake imesababisha kuzorota kwa hadhi na heshima ya Marekani duniani, pamoja na kukataa makosa kwenye maamuzi mengi aliyoyafanya, mojawapo ikiwa ni vita vya Iraq.

Tuesday, November 25, 2008











Mheshimiwa Bwana Kichaka alipozuru Bongo. Je madhumuni ya ziara hii ilikuwa ni nini haswa?




Thursday, October 30, 2008