Wednesday, March 30, 2011

LeBron James's triple double was not enough to help the Miami Heat overcome the lowly Cleveland Cavaliers, who beat the playoff bound Heat 102-90 on Tuesday.

James, who left Cleveland last season to join Miami as a free agent and was roundly booed by the crowd again -- he first returned home last December -- ended with 27 points, 12 assists and 10 rebounds.

The Cavaliers, who won 61 games last season but have struggled without James to a NBA worst 15-58 record so far this season, had built a 23-point lead during the game on Tuesday.

Miami, however, clawed back to tie the game at 83-83 with 7:01 to go, but Cleveland went on a 12-0 run to earn their surprising victory.

J.J. Hickson recorded 21 points and 12 rebounds and Anthony Parker added 20 points as the Cavaliers gave their hostile crowd much to cheer about.

Sunday, March 27, 2011

TATIZO NI NINI?





Kama mnaweza kucheka pamoja na kukumbatiana kwa furaha kwanini basi msiache hizo siasa za kijinga ili muwekeze bidii kwenye kuwaondolea wananchi matatizo yao? Wacheni malumbano ya kisiasa, sisi hayatatufikisha popote. Tunachohitaji ni UMEME, MAJI, ELIMU BORA, MAHOSIPITALI YANAYOELEWEKA, NYUMBA BORA NA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!! ACHENI UBINAFSI.

Monday, March 21, 2011

Thursday, March 10, 2011

Tuesday, March 8, 2011

UTUMWA!!!

Ni vizuri kwa kizazi cha sasa kikafahamu kwamba mpaka kufikia hapa tulipo, mababu na mabibi zetu walifehedheshwa na kukatiliwa sana na wageni waliovamia nchi zetu na kutufanya nusu wanyama. Hali hii bado haijesha na kama watapata nafasi tena bado watataka kututawala lakini kwa namna tofauti kabisa.

Machochezi tunayoyaona ya vurugu za wenyewe kwa wenyewe ni mojawapo tu ya njia hiyo ya kutaka kututawala kwa kuwatumia vibaraka ambao ni wenzetu kabisa.  Ukoloni bado upo na hawa Wakoloni wanaitamani sana Afrika yetu kutokana na wingi wa rasilimali zake, kama vile mafuta, madini, wanyama pori n.k. Afrika inahitaji viongozi wasioyumbishwa na wenye mwelekeo.

Inastahajabisha sana kuona mpaka wa leo nchi nyingi za Afrika bado zina matatizo makubwa ya umeme, maji na chakula na bado hakuna ufumbuzi wa kweli wa matatizo haya.  Hawa wakoloni wanaodai kuwa  ni marafiki zetu na wako tayari kutusaidia kuleta maendeleo kwa kubadilishana na mafuta na madini yetu, kwa nini basi wasituondolee haya matatizo ya umeme, maji na chakula ili nasi tuwe kama wao? 

China, Ulaya, Marekani na wengine wote bado nia yao ni ile ile!!
MAELFU WAFURIKA KUTIBIWA MAGONJWA SUGU LOLIONDO!
NI KWA MCHUNGAJI NA ANATIBU KISUKARI, SARAKATI, PUMU NA UKIMWI.



MAELFU ya watu, wakiwemo vigogo wa serikali, wabunge na wafanyabiashara wakubwa nchini, wamefurika katika Kijiji cha Samunge Tarafa ya Sale wilayani Ngorongoro kupata 'dawa ya maajabu ya Mungu' inayodaiwa kutibu magonjwa mengi sugu ikiwamo Ukimwi.

Helkopta za wafanyabiashara na magari zaidi ya 1,000 yakiwamo magari ya serikali, binafsi na mashirika ya kimataifa ikiwamo Umoja wa Mataifa (UN) na Jumuiya ya Afrika Mashariki, yamefurika katika kijiji hicho kilichopo umbali ya takriban kilometa 400 kutoka Jiji la Arusha.

Dawa hiyo, inatolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapile (76), ambaye anasema alioteshwa na Mungu kuitumia kutibu tangu mwaka 1991.

Mchungaji Mwasapile ambaye alifanya mahojiano na Mwananchi Jumapili nyumbani kwake wakati akiendendelea kutoa dawa kwa wagonjwa wake, anasema ndoto hiyo aliendelea kuota mara kadhaa hadi Agosti 26 mwaka jana alipoanza rasmi kutibu.

Anasema dawa hiyo inatokana na mti aina ya mugariga na yeye pekee ndiye anaweza kukupatia na kunywa kikombe kimoja pekee na ukinywa tu inaanza kazi ya kutibu maradhi sugu ya ukimwi, kisukari, pumu na saratani.

Mchungaji Mwasapile anasema gharama za dawa hiyo ni Sh500 tu na dozi yake ni kikombe kimoja tu na hairuhusiwi kurudia kuinywa. Kabla ya kukamilika mchungaji huyo huiombea dawa hiyo na kuichemsha katika majisafi.

“Mungu ameniotesha kutoa dawa hii kwa Sh 500 aliponiambia hata mimi nilishangaa. Kwanza aliniambia niwape watu wapone saratani, kisukari, pumu na magonjwa mengine na baadaye akanionyesha kuwa dawa hii niwape hata wagonjwa wa ukimwi na watapona,“ anasema Mwasapile. Habari hii imeandikwa Mussa Juma na Daniel Sabuni, Loliondo.Picha zote kwa hisani ya Aman Masue.

Monday, March 7, 2011


It's Carnival Time so Rio and Sao Paulo is Business as usual!!

Friday, March 4, 2011


Orlando stuns LeBron and Miami with thrilling comeback



The Orlando Magic stunned the Miami Heat with an inspired second-half comeback on Thursday, overcoming a 24-point deficit with a flurry of three-pointers to secure a thrilling 99-96 victory.

The Magic took control with a wild run that included 18 straight points during one stretch of the fourth quarter and then held on as Miami launched a pair of potential game-tying three-pointers in the game's final seconds.

Orlando, who scored a staggering 48 points from three-point range, got a team-high 24 points from Jason Richardson to move 3-1/2 games behind Miami for the Southeast Division lead.

LeBron James had 29 points and Dwyane Wade added 28 to lead the way for Miami, whose second-half collapse followed a solid opening half where the duo combined for 47 points as the Heat built a 63-45 lead at halftime.