Tuesday, October 7, 2008



Baadhi ya sehemu za Jiji la Arusha zinavyoonekana toka angani.

Siku zote hatuna budi kumuenzi Baba wa Taifa kwa kutujengea umoja, ambao ni moja ya sifa kubwa tuliyonayo Watanzania. Alikuwa mstari wa mbele kuikomboa Afrika kutoka kwa wakoloni na vibaraka wao.
Ni mmoja wa viongozi Duniani ambaye siku zote aliiweka nchi na watu wake mbele na ubinafsi nyuma. Alikuwa na uchungu na nchi na huruma wa wanyonge kote Duniani.
Mungu ibariki roho ya hayati Baba, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na tutakukumbuka daima na milele.

Monday, October 6, 2008

Sunday, October 5, 2008

Wednesday, October 1, 2008



EID
MUBARAK
NAPENDA KUWAPA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WOTE POPOTE WALIPO MKONO WA EID MUBARAK NA KUWATAKIA MWENYEZI MUNGU AWABARIKI KWA MAISHA MAREFU YA AMANI, UPENDO NA AFYA NJEMA.

Sunday, September 28, 2008

Saturday, September 27, 2008