Sunday, November 29, 2009


Wale jamaa wavamizi wa mnuso kwenye Jumba Jeupe walihakikisha kwamba Raisi na Makamu wake lazima wapate mikono... matusi makubwa kwa secret service!





President Barack Obama, his mother-in-law Marian Robinson, first lady Michelle Obama and daughter Sasha watch a college basketball game between George Washington University and Oregon State in Washington, Saturday, Nov. 28, 2009. President Obama's brother-in-law Craig Robinson is head coach of Oregon.

Friday, November 27, 2009

SALAMU KWA WAISLAM WOTE
KWA KUSHEHEREKEA
EID AL - ADHA
Kwa watani wetu wa jadi(Kenya) kumbe nako mambo ni yale yale...


Bwana na bibi waliovamia mnuso wa Jumba Jeupe bila mwaliko wakati wa chakula kwa heshima ya Waziri Mkuu wa India. Makachero wa Secret service wanahaha kutaka kujua ilikuwaje?

Wednesday, November 25, 2009


Back in the Days in Hesston, Kansas!!! Sikumbuki mwaka lakini magari na style zinazungumza yote...





Kina mama wakiwa harusini wakisubiri mambo ya msosi na rusha roho. Hivi ndivyo harusi za Kimwambao zilivyo.




Tuesday, November 24, 2009





Baba huyoo!!! Pole kwa kazi...




Hii ilikuwa ni mara yangu ya mwisho naonana na ndugu zangu wapenda Ramadhani na Kasimu kabla hawajatutoka. Inshallah Mwenyezi Mungu atawafariji na kuwalaza pema peponi. Ramadhani alitutangulia mbele za haki mwaka 2004, na bwana Kasimu 2005. Kutoka kushoto: Kasimu, mama, mimi na Ramadhani.

Monday, November 23, 2009

Bagamoyo kuzuri, ona miti ilivyopangana vizuri katika hii barabara.


Haya ndio maisha! Kitoweo unakifuta mwenyewe ufukweni...fresh!!! Food poisoning hapa itatoka wapi?


Nadhani ni bora wangeandika "Ukipita hapa utauliwa"

Sunday, November 22, 2009

Saturday, November 21, 2009

Why not? Ndio maisha...

KANYAMA CHIUME

NOVEMBER 22, 1929 - NOVEMBER 21, 2007



Dad it has been two years since
You closed your eyes forever.
Two years of sadness,
Two years remembering the
Good memories we shared together
And two years of knowing that you have
Joined the angels in heaven
Dad we miss you every day, every hour,
Every minute, and every second.
Hoping one day we shall meet again.
May you rest in peace!

Your loving family.

Thursday, November 19, 2009

SOME WORDS OF WISDOM:


Whether the situation is good or bad, it will change.
Dream more while awake.

Don't compare your life with others, you have no idea of the highways they have traveled during their lives.

Make peace with your past, so as not to ruin your present.

Remember well that we have no control over what happens to us, but only what we do.

What others think of us is not completely under our control.

Take care!




Nani zaidi?






Kwa watakao tembelea Jiji la New York katika kipindi hiki cha sikukuu, sehemu mojawapo nzuri ya kutembelea ni Rockeffer Center, ambapo mandhari yake uvutia sana na kunakuwa na shughuli nyingi za kufanya.



Wednesday, November 18, 2009


KENYA UNVEILS NEW DRAFT CONSTITUTION AFTER UNREST:




Kenya on Tuesday unveiled a new draft constitution proposing that the president be the head of state and creating a post of prime minister who will be the head of government.
The east Africa country currently has a president who is both head of state and government, a source of intense election tussles that has repeatedly plunged Kenya into bloody clashes.
The current prime minister is not the head of government and the position was created last year in a unity government put in place to end widespread post-election violence.
Under the draft, the president will be directly elected and will name a premier from the largest party or coalition of parties in parliament and who will be confirmed by parliament.
"Kenyans were unanimous that the era of an imperial president must come to an end and there must be an elaborate system of checks and balances running throughout the entire government structure," Nzamba Gitonga, the head of a panel of experts that drafted the law, said at the unveiling.
The draft law also proposes a decentralised government, introducing regional and county governments, sets limits on the size of the cabinet and introduces a senate.
Kenyans will debate the draft for the next 30 days and make suggestions to the experts. The final draft will be voted for in a referendum in 2010.
The last constitutional referendum in 2005 ended with the defeat of the government-backed "yes" camp, prompting President Mwai Kibaki to dissolve the cabinet and rename a fresh one without the ministers who opposed it.
Leaders of the two emerging camps -- Kibaki and then opposition chief Raila Odinga -- ran for the presidency in 2007 elections, whose disputed result sparked Kenya's worst post-independence violence which claimed some 1,500 lives.
Odinga accused his rival of stealing the vote.
A power-sharing deal brokered by former UN chief Kofi Annan made Odinga the premier and Kibaki retained his post.
Also in the agreement was an undertaking to make institutional and legal reforms, wich included a new constitution to avoid fresh unrest.
"I think the time has come for Kenyans to bite the bullet. Let there be a civilised debate," Odinga said during Tuesday's ceremony.




Kivazi cha dada J. Lopez...

Monday, November 16, 2009


Wadau mnakumbuka mwaka 1997 wakati mambo alipomshinda bwana Tyson mpaka ikabidi atafune sikio la Holyfield?

Mijini kweli kuna vituko! Sina uhakika kwamba kweli huyu Polisi akili yake imetulia kwenye kumuelekeza huyu dada njia... tazama macho yalipo elekea.



Heka heka za mtaa wa 42 Jijini New York!